Moses Otieno Kajwang ndiye atapeperusha bendera ya ODM kwenye uchaguzi wa Homa Bay
23rd December, 2014
Sasa ni rasmi kuwa moses otieno kajwang atapeperusha bendera ya chama cha odm katika kinyang’anyiro cha kumtafuta seneta mpya wa homabay baada ya bodi ya uchaguzi ya odm kumpa uteuzi wa moja kwa moja moses kajwang kuwania nafasi ya useneta,kaunti ya homa bay. Haya yanajiri siku chache baada ya kundi la vijana kuwavuruga wanachama wa odm kwenye shughuli ya uteuzi wa mgombeaji katika kaunti ya homabay. Wakati huohuo, mwanachama wa odm silas ouko jakakimba, ameandika barua ya kujiuzulu katika odm.