Idadi ya waliofariki katika mkasa wa kuporomoka jengo Makongeni imefikia watu sita sasa
18th December, 2014
Miili mitatu imetolewa katika jengo hilo leo, huku mwili mmoja ukitolewa usiku wa kuamkia leo. Takriban watu 17 wanaoshukiwa kuwa wapangaji kwenye jengo hili hawajulikani waliko.