Wafanyakazi wa kampuni ya China Road Bridge kuandamana barabara kuu ya Lang’ata
15th December, 2014
Shughuli za kawaida zilitatizwa mapema leo katika barabara kuu ya Lang’ata baada ya wafanyakazi wa kampuni ya China Road Bridge kuandamana na kusababisha msongamano mkubwa wa magari kwenye barabara hiyo. Licha ya polisi kufika maeneo hayo, hali ilikuwa ya vuta nikuvute kwa muda…Elvis Kosgei na taarifa hiyo.