Wazazi walalama wizi wa watoto Bungoma mpakani mwa Kenya na Uganda
14th December, 2014
Wakazi wa Bungoma wameanza kuwapoteza watoto kwenye msururu wa wizi unaodaiwa kundelezwa na kundi la watu kwenye mpaka wa Kenya na Uganda. Wakazi kadhaa wamesema kwamba akina mama wamekuwa wakiwapoteza watoto wadogo wenye chini ya umri wa mwaka mmoja na nusu…na kama anavyoripoti Robert Wanyonyi, uchunguzi wa KTN umepata uwezekano wa kuhusika kwa wanawake watatu kutoka nchi jirani katika sakata hiyo.