MAKAO YA HISTORIA: Makao ya historia yaliyojengwa miaka 50 iliyopita
12th December, 2014
Wakati wakenya wanapoisherekea siku kuu ya jamhuri ni vyema wakumbuke baadhi ya matukio yaliyojiri kabla ya kenya kujipatia uhuru. Lofty matambo alizuru kauti ya samburu na kuipata nyumba moja aliyoishi mzee jomo kenyatta baada ya kuletwa hapo na wakoloni kutoka kifungoni lodwar, ili kuirai roho yake kutokana na mateso aliyoyapitia..imesemwa kwamba ni kwenye nyumba hiyo ndipo safari ya kuwa rais ilianza.