Wawakilishi wa wadi katika kaunti ya Makueni wanamlaumu Gavana Kivutha Kibwana kwa kutowajibika
10th December, 2014
Wawakilishi wa wadi katika kaunti ya Makueni sasa wanamlaumu Gavana Kivutha Kibwana kufuatia hatua ya Rais Kenyatta kuteuwa tume maalum ya kuchunguza suala la kubanduliwa serikali hiyo. Viongozi hao wanasema kufeli kwa Makueni kunatokana na Gavana kutowajibika. Hata hivyo kama anavyoarifu Mohamed Mahmoud, kauli hizo zinatokana na wengi kuhofia kupoteza viti vyao iwapo serikali hiyo itabanduliwa.