Wanafunzi wa kike chuoni Egerton kuanzisha kituo cha malezi ya watoto chuoni
9th December, 2014
Visa vya wanafunzi hasa wa vyuo vikuu kupata ujauzito sio geni… wengi hujipata katika hali ya kutatanisha kwa sababu wanafaa kulea mimba na watoto na hali ni wanafunzi. sasa baadhi ya wanafunzi wa kike chuoni Egerton wamejipata katika hali hiyo na kuanzisha kituo cha malezi chuoni. Kamche Menza alifika Egerton na sasa anatupambia makala yetu ya kila Jumatatu, Elimu na Taaluma