NCIC yatoa wito kwa Wakenya kubadilisha mawazo ili kufanikisha umoja wa taifa
8th December, 2014
Licha ya harakati zinazoendelezwa nchini kupata utangamano, inaibuka kwamba wakenya bado hawajakumbatia moyo huo miongoni mwao huku ukabila ukiendelea kupaliliwa... kwenye ripoti mpya kuhusu kiwango cha uwiano nchini tume ya NCIC sasa imetoa wito kwa Wakenya kuanza kubadilisha mawazo ili kufanikisha umoja wa taifa...kama anavyoarifu Nicholas Wambua hali hiyo huthibitika zaidi kwenye ulingo wa siasa