Hali ya wasiwasi kutanda katika eneo la Kuvasali katika mpaka wa Nandi na Kakamega
9th December, 2014
Hali ya wasiwasi ingali imetanda katika eneo la Kuvasali katika mpaka wa Nandi na Kakamega, Siku moja baada ya mapigano mapya kuanza, imewalazimu wakazi wengi sasa kukimbia makwao kwa hofu ya kuzuka kwa mapigano mapya….mwanahabari Francis Ontomwa yu hapa na taarifa hiyo