Wanawake 3 Pokot Magharibi kuanzisha kituo cha kuoshea magari kinachowapa riziki
29th November, 2014
Wakati kasumba ya wanawake kutengewa kazi aina fulani nao vijana kuchagua kazi ikisalia katika jamii, wanawake watatu katika kaunti ya Pokot Magharibi wameipa hali hiyo mtizamo tofauti baada ya kuamua kuanzisha kituo cha kuoshea magari kinachowapa riziki ya kila siku na hata kuwapa changamoto baadhi ya mabarobaro waliojikalia ovyo wakisubiri ajira katika eneo hilo. Lofty Matambo na taarifa hio.