STRIPPERS CHARGED: Dereva na Makondakta wafikishwa Mahakamani kwa tuma ya kudhulumu msichana
28th November, 2014
Waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru amesema kuwa wamiliki wa matatu, Madereva na Makondakta watapokonywa leseni zao iwapo watapatikana na hatia ya kusababisha au kutochukua hatua dhidi ya dhuluma zinazofanyiwa wanawake kwenye magari yao. Tayari chama cha matatu cha nazigi kimepokonywa leseni yake na halmashauri ya usafiri kwa mda wa wiki 2. Wakati huo huo jamaa wawili waliokamatwa hapo jana kwa kumvua nguo mwanamke katika barabara ya thika walifikishwa mahakamani mapema hii leo.