Washukiwa watano wa kosa la kuwavua nguo mwanamke wamefikishwa katika Mahakama ya Makadara
27th November, 2014
Washukiwa watano wa kosa la kuwavua nguo mwanamke mtaa wa kayole jijini nairobi, wamefikishwa katika mahakama ya makadara na kufunguliwa mashtaka. Hatahivyo kesi yao haikuendelea kutokana na mshukiwa mmoja kuwa na ulemavu wa kusikia,yaani kiziwi. Wakati huo huo washukiwa watatu wanaosemekana kumvua nguo mwanamke aliyekuwa kwa basi la kuelekea githurai wamekamatwa.francis mtalaki na maelezo zaidi.