×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa makanisa wametoa wito kwa Rais Uhuru kubaini palipo na pengo kwa idara ya usalama

26th November, 2014

Miungano ya makanisa ikiwemo NCCK na makamishna wa haki na amani katika tume ya makasisi katika kanisa la katoliki kote nchini wamezidi kuishinikiza serikali kushughulikia kwa haraka iwezekanavyo suala ya usalama wa kitaifa, kufuatia visa vya ukosefu wa usalama vinavyoendelea kushuhudiwa humu nchini. Viongozi hao wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kubaini palipo na pengo katika idara ya usalama wakidai kuwa ni dhahiri kuna ukosefu wa uratibu baina ya maafisa wa usalama na rasilmali.
.
RELATED VIDEOS