Mwanamke mmoja ajitokeza akidai kuwa Mke halali wa marehemu Otieno Kajwang
21st November, 2014
Ripoti ya uchunguzi wa kilichosababisha kifo cha seneta wa Homa Bay Otieno Kajwang imeaashiria kuwa alifariki kutokana na ugonjwa wa moyo. Akitoa ripoti hiyo, mpasuaji mkuu wa maiti serikalini dakta Johansen Oduor amesema kuwa ripoti hiyo itahitaji utafiti zaidi kwa ushirikiao na chuo kikuu cha Pretoria Afrika kusini, ili kuthibitisha mengi zaidi…. Wakati huohuo, mwanamke mmoja amejitokeza na madai kuwa yeye ndiye mke wa halali wa marehemu Kajwang. Ali Manzu, anaarifu zaidi.