Mike Sonko awapa wanafunzi wa Loreto Msongari walioadhirika katika ajali ya barabarani, milioni moja
16th November, 2014
Sonko aliwapa wanafunzi wa shule ya Loreto Msongari waliohusika katika ajali ya barabarani mwaka jana mchango wake wa Millioni moja zinazojumuisha laki sita kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta na mchango wake wa kibinafsi wa laki nne. Takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya watu elfu tatu hufariki kila mwaka kutokana na ajali za barabarani na wengine kusalia na ulemavu.