TIBA MUJARABU: Kibuyu cha kupeana mimba katika eneo la Mijikenda
15th November, 2014
Swala la utasa limewasumbua akina mama wengi kwa muda mrefu na hata kufanya baadhi kupewa talaka . Lakini je wafahamu kuwa katika jamii ya Wamijikenda kumekuwepo na ile imani kuwa kibuyu fulani kinachopweanwa na mganga chaweza kutatua tatizo hilo?agnes penda alizuru eneo la kambe katika kaunti ya kilifi ambako kibuyu hicho kinachoitwa mwana wa ndonga kimethaminiwa na baadhi.