Jamii ya Wanubi imeipa serikali siku tatu kusuluhisha utata wa ardhi
15th November, 2014
Jamii ya wanubi imeipa serikali siku tatu kuketi na kusuluhisha utata wa ardhi katika operesheni ya usafishaji kibra. Aidha, kikao cha haki za wanubi kimetaka operesheni hiyo kukomeshwa hadi wanubi wapate hati miliki ya ardhi hiyo.