Mwanasheria Mkuu Githu Muigai atofautiana na Evangelical Alliance of Kenya
14th November, 2014
Baadhi ya maaskofu wakiongozwa na Mark Kariuki wa Evangelical Alliance of Kenya leo wameondoka kwenye mkutano ulioitishwa na Mwanasheria Mkuu Githu Muigai kushauriana kuhusu sheria za kudhibiti mashirika ya dini. Hatua hiyo iliwaacha maaskofu wachache kwenye kikao cha prof githu ambacho kiliendelea jinsi ilivyokusudiwa. Lofty matambo anataarifa kuhusu jinsi mchakato huo wa kuibuni sheria hiyo ulivyokwenda.