×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wasichana Garissa wanahofia iwapo wanajiunga na kikosi cha NYS, huenda wakakosa kuolewa

9th November, 2014

Mtoto wa kike ni kama ambari na dhahabu katika jamii yetu, na hatukubali wao kujiunga na kikosi cha maafisa wa NYS. Hii ndio kauli ya baadhi ya wazee wa jamiikutoka Garissa baada ya zoezi la kutafuta vijana wa huduma kwa taifa kukosa mtoto wa kike sehemu hio. Baadhi ya wasichana wanahofia iwapo wanajiunga na kikosi hicho, huenda wakakosa kuolewa. Hamza Yusuf anaarifu zaidi.
.
RELATED VIDEOS