Swala la umiliki wa mali katika ndoa
8th November, 2014
Mali inayopatikana katika ndoa kulingana na sheria ya umiliki katika ndoa inafaa kuwa katika majina ya mke na mume wake iwapo mali hiyo imechumwa na wawili hao . Lakini kulingana na hali ilivyo sasa wana ndoa wengi wameweza kujinunulia mali kisiri bila kuwafahamisha wenzao . Wanawake hasa wamepata kulaumiwa na wanaume katika swala hili. Hii hapa taarifa kuhusu sababu ambazo zimetolewa na wanawake za kuwaficha wanaume kuhusu mali wanazokuma katika ndoa.