Rais Uhuru Kenyatta akubali ununuzi wa magari ya abiria 14 na agusia swala la 'graffiti'
5th November, 2014
Rais Uhuru Kenyatta ameondoa marufuku ya ununuzi wa magari yanayobeba abiria 14. Mafuruku ambayo huenda ni habari njema kwa wamiliki wa matatu humu nchini. Rais pia aligusia swala la usanii wa michoro na picha kwenye magari ya uchukuzi wa umma.