Licha ya kuleta afueni na kurahisisha usafiri nchini, boda boda zageuka kuwa kero kuu (Part 1)
25th October, 2014
Shughuli za uchukuzi wa bodaboda zimekuwa zikipata umaarufu kila siku humu nchini. Ni uchukuzi ambao umetokea kupendwa na wengi kutokana na unafuu wake pamoja na kuwa na uwezo wa kuingia hadi sehemu ambazo magari ya uchukuzi wa umma huwa hayafiki. Lakini mbali na faida zake bodaboda zimeleta maafa zaidi .katika sehemu ya kwanza ya makala haya ya mtitigo barabarani mwanahabari wetu hussein mohammed anadadisi na kutupa taswira kamili ya faida za bodaboda na madhara yake.