Madaktari mjini Nakuru wathibitisha dhuluma dhidi ya mjakazi baada ya KTN Leo kufichua kisa
23rd October, 2014
Madaktari mjini Nakuru wamepima kiwango cha majeraha ya msichana yaya ambaye KTN Leo imefichua dhuluma anazopitia mikononi mwa mwajiri wake hapo jana. Na sasa wanasema mbali na changamoto za kutibu majeraha ya kuchomwa kwa moto, msichana huyo vilevile ameathirika kisaikolojia. Wakati huo huo polisi wanasubiri ripoti hiyo ya afya kumfungulia mwajiri wake mashtaka. Kamche Menza amekuwa akifuatilia suala hilo