×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Zaidi ya watu 50 wanadai walinunua ardhi ya Karen kwa kampuni ya Telesos

21st October, 2014

Zaidi ya watu 50 ambao walikuwa wameanza ujenzi kwenye ardhi inayozozaniwa mtaani Karen wamejitokeza na kusema walinunua ardhi hiyo kutoka kwa kampuni ya Telesos kati ya mwaka 2005 na 2011. Aidha wamesema wao sio wanyakuzi. Hatua hii huenda ikazua utata zaidi kwenye ubishi unaokumba ardhi hiyo yenye ukubwa wa ekari 134
.
RELATED VIDEOS