×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mjadala: Kanisa la Katoliki yatoa maoni dhidi ya pepo punda yani tetanus

18th October, 2014

Mjadala kuhusu mpango wa serikali kutoa chanjo dhidi ya pepo punda yani tetanus kwa wanawake humu nchini limezidi kuzua hisa mseto katika jamii. Kanisa katoliki limeibua hisia kali dhidi ya chanjo hiyo ambayo linadai inauna kuwakinga wanawake dhidi ya shukia mimba. Kwa upande mwingine serikali insisitiza kwamba chanjo hii inalenga kuzuia tu pepo punda miongoni mwa wahusika ni hali inayowaacha wengi katika njia panda.ktn inavalia njuga suala hili.
.
RELATED VIDEOS