Hofu ya wizi wa fedha za wakulima wa miwa katika serikali ya Kakamega
17th October, 2014
Wakulima wa miwa katika eneo la mumias kaunti ya kakamega wanashinikiza serikali ya kaunti hiyo kufafanua matumizi ya shilingi milioni 200 zilizotengwa na bunge la kaunti hiyo kuiwezesha kampuni ya mumias kuwalipa madeni yao. Serikali ya kaunti hata hivyo imejitetea ikisema zilitumiwa vyema. Na kama anavyoarifu Francis Ontomwa huenda fedha hizo zimefujwa.