Polisi wetu ni wanalinda usalama ama kinyume cha wanaosimamia hapa nchini?
16th October, 2014
Maafisa wa polisi wa kitengo cha flying squad wamekashifiwa vikali kwa kuhusika kwenye mauaji ya kiholela kando na kuwadhulumu na kuwaibia raia mali zao kwa kutumia mtutu wa bunduki. Ripoti za mashirika ya kuchunguza harakati za kitengo hicho zasema mwaka huu pekee wamewaua watu 176 kinyama.