Mchimba mgodi afukiwa na udongo kwenye mgodi eneo la Ikolomani kaunti ya Kakamega
15th October, 2014
Wanakijiji katika eneo moja la Ikolomani kaunti ya Kakamega wamekumbwa na majonzi pale mchimba mgodi mmoja alifukiwa na udongo kwenye mgodi. Kisa hicho kimetokea mwendo wa saa tano asubuhi na kutatiza wakazi ambao hadi kufikia sasa bado kuondoa mwili huo kwenye machimbo hayo.