Mwanamke mmoja amepewa talaka na mumewe kwa kujifunza kwendesha tingatinga
11th October, 2014
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya mtoto msichana. Ni vyema ikumbukwe kwamba katika baadhi ya jamii za kenya yapo majukumu ambayo si ya wasichana au hata wanawake….lakini katika Kaunti ya Wajir mwanamke mmoja amepewa talaka na mumewe kwa kujifunza kwendesha tingatinga kuu la kujenga barabara. Hamza yussuf alifunga safari hadi mjini wajir na kukutana na hadija bishar.