Wasioweza kuskia wakicharaza muziki kwenye tamasha la Mashindano ya Nairobi
11th October, 2014
Mtazamaji umewahi kukumbana na watu wasioweza kuskia wakicharaza muziki? Huenda unajiuliza ni vipi mtu akaweza kuimba na hali hana uwezo wa kusikia? Ndiyo taswira ambayo francis mtalaki alikumbana nayo katika tamasha la mashindano ya wakenya wenye ulemevu huo katika eneo moja hapa Nairobi.