Kenya yajiunga na ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike
11th October, 2014
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya mtoto wa kike hapa nchini bado kuna maeneo mengi haswa ya jamii za wafugaji ambako mtoto wa kike hana lake. Mila na tamaduni zinatumika kumnyima elimu na haki nyengine muhimu. Lofty matambo anasimulia kisa cha wasichama 57 katika kaunti ya garisa wanaoishi peke yao kwenye mantatta moja ili waipate elimu baada ya wazazi wao kuwakimbia.