Wabunge na wafuasi wa Uhuru wahudhuria kikao cha ICC wakiwa wamevaa vitambaa vya bendera ya taifa
8th October, 2014
Mavazi yaliyoshonwa kutoka vitambaa vya bendera ya taifa ndiyo yalizagaa mjini the Hague wakati Uhuru Kenyatta alifika kuhudhuria kikao cha kutathmini kesi inayomkabili.Na kama anavyoarifu Francis Mtalaki waheshimiwa ambao wanafahamika nchini kwa suti walikuwa watu tofauti kabisa kwenye matembezi ya amani kwenye barabara zilizo karibu na jengo la ICC .