Walemavu wamzidiwa na changamoto za kila aina katika shule
4th October, 2014
Peter kirubi ni mhadhiri katika taasisi ya kiufundi ya viziwi huko Karen lakini tofauti yake na idadi kubwa ya wanafunzi wake, yeye anaweza kuzungumza lakini hasikii. Baadhi ya wanafunzi wake wanasikia na kuzungumza lakini wanawasiliana vizuri kabisaaa. Pia mimi nilijiuliza masomo yanaendeleaje katika mazingira kama hayo na nilipata kuelewa maana fika ya msemo mungu hakupi kilema akakunyima mwendo. Taarifa ifuatayo inaupa uzito msemo huu.