×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji wa eneo moja katika Kaunti ya Isiolo wangali wanategemea barua ya posta kuwasiliana

3rd October, 2014

Ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano nchini, umewafanya wakenya wengi kujiunga na tabaka la kuwasiliana kwa njia ya mitandao ya twitter, facebook na teknolojia ya video ya skype. Lakini katika eneo moja la kaunti ya isiolo wenyeji wangali wanategemea barua ya posta kuwasiliana kwa kuwa ugumu wanaopata wakitaka kupiga simu ni wa kutatiza. Kwanza lazima mtu apande tanki moja la maji lenye kimo cha mita kumi na tano ndipo simu yake iweze kupokea na kupiga. Hali hii ni changamoto kuu kwa wanawake. Carol nderi amerejea kutoka isiolo kusini na hapa anasimulia.
.
RELATED VIDEOS