×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanafunzi mmoja amesalia kuuguza majeraha baada ya kupigwa risasi na Afisa wa Polisi

2nd October, 2014

Mwanafunzi mmoja katika shule ya msingi ya banane kaunti ya garrisa amesalia kuuguza majeraha baada ya kupigwa risasi na afisa wa polisi kisa ni utata unaosemekana kutokana na simu ya rununu.kulingana na familia hiyo haijafahamu kilichompelekea afisa huyo kummiminia risasi mwanafunzi huyo huku wengi wakishuku kuwa afisa huyo alikuwa mlevi wakati alipotenda kitendo hicho.
.
RELATED VIDEOS