Raila Odinga aendeleza kampeni za kukusanya saini kutoka kwa wakazi wa Pwani
27th September, 2014
Kiongozi wa CORD Raila Odinga aliendeleza kampeni za kukusanya saini kutoka kwa wakazi wa Ukanda wa Pwani katika kaunti ya Tana River. Akiwa Garseni,Raila Odinga aliwataka wenyeji kujitokeza kwa wingi katika wito wa kuandaliwa kwa kura ya maoni. Hamza Yusuf, anaarifu zaidi.