Viongozi mbalimbali wamekashifu vurugu zinazo changiwa na siasa zinazoshuhudiwa katika sehemu toauti
24th September, 2014
Viongozi mbalimbali wa kisiasa, wa dini pamoja na wananchi wamekashifu vurugu zinazochangiwa na siasa zinazoshuhudiwa katika sehemu tofauti za nchi. Haya yamejiri kufuatia vurugu za hapo jana katika kaunti ya Makueni ambapo watu watano walijeruhiwa kwa risasi. Na kama anavyoarifu Mashirima Kapombe,visa vya Migori, Kapsabet na Makueni vinaonekana kuwa ishara mbaya kwa demokrasia ya nchi hii.