Johnston Kavuludi na David Kimaiyo wafafanulia Bunge marufuku ya makurutu wa polisi
4th September, 2014
Mwenyekiti wa huduma kwa polisi Johnston Kavuludi akiandamana na Inspekta Jenerali David Kimaiyo walifika mbele ya kamati ya bunge kufafanua maswala ya kutupilia mbali kwa uteuzi wa makurutu kwenye kikosi cha polisi. Imebainika kwamba zoezi la uchaguzi kwenye vituo hivyo 36 litaanza tena baada ya kesi iliyowasilishwa Kortini na mamlaka ya usimamizi wa Uhuru wa polisi