Wakazi wa Rumutu wakadiria hasara kubwa baada ya ndovu kuharibu mashamba yao
3rd September, 2014
Mtazamaji, ndovu ni moja wapo ya wanyama wa pori wanaovutia watalii nchini kenya lakini kwa wakaazi wa eneo rumuruti huko laikipia, ndovu wamekuwa karaha kwao baada ya kuharibu mimea yao. wenyeji sasa wametishia kuwaua ndovui hao ambao wanadai serikal imeshindwa kuwaondoa mashamani mwao.