Mama wa Taifa, Bi Margaret Kenyatta atoa msaada kwa hospitali ya Pumwani Jijini Nairobi
2nd September, 2014
Mama wa taifa Bi. margaret kenyatta, aliandamana na gavana wa kaunti ya nairobi evans kidero hii leo kupeana msaada wa vifaa vya kuhifadhi watoto wa changa katika hospitali ya kina mama ya pumwani. aliwahimiza washikadau katika sekta mbali mbali kuzingatia masilahi ya hospitali hiyo ili kuiboresha. Taarifa hii na nyinginezo katika mkusanyiko wa taarifa kutoka kaunti tofauti.