Rais Uhuru Kenyatta aongoza shughuli ya usajili wa wafanyikazi wa umma kupitia mfumo wa electroniki
1st September, 2014
Rais Uhuru Kenyatta amezindua usajili upya wa wafanyikazi wote wa umma kwa njia ya dijitali. Hatua hiyo inalenga kukabili swala la wafanyikazi hewa au bandia wanaolipwa mishahara ilhali hawajaajiriwa. Kuhusu yanayohitajika kwenye usajili huo.