×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jinsi shughuli ya kuandikisha wafanyikazi kwa mfumo wa elektronoki itakavyofanyika na uzuri wake

1st September, 2014

Huku serikali ikianzisha rasmi shughuli ya kuandikisha wafanyikazi wote wa umma kwa mfumo wa elektroniki ili kuhakikisha kuwa wafanyikazi ghushi wameondolewa, wakenya wanashangazwa na mbinu itakayotumiwa kuhakikisha kuwa ufisadi hautajipenyeza katika shughuli hii. Serikali hupoteza takriban shilingi bilioni 1.8 pesa za umma kila mwaka kupitia kuwalipa wafanyikazi bandia. Mwanahabari mohamed mahmoud anangazia jinsi shughuli hii itakavyofanyika, na uzuri wake katika serikali inayotambulika kama digitali.
.
RELATED VIDEOS