Wenyeji wa Budalangi wailaumu serikali kwa kukosa kuwasaidia katika shughuli ya kuitafuta miili 8
1st September, 2014
Ikiwa ni kukesha wamekesha, na ikiwa ni dua wameiwakilisha kwa maulana kwa dhati. Mtazamaji ni siku ya tatu na bado kizungumkuti ni kilekile kwa wakazi wa siginga baada ya kupatwa na mkasa wa boti kuzama. Sasa wanalalama kuwa serijkali kuu na ile ya kaunti ya busia zimewaacha kusononoke na kulazimika kutafuta miili ya wapendwa wao bila usaidizi kutoka kwao.