Abiria 5 wafamilia moja wafariki kwenye ajali iliohusisha gari lao na basi kaunti ya Narok
31st August, 2014
Watu 5 wamefariki kwenye ajali ya barabarani iliotokea sehemu ya longisa barabara kuu ya kutoka narok kuelekea bomet. Inasemekana watano hao ni baba na watoto wake 4, 2 wa kike na 2 wa kiume huku mwanamke mmoja akijeruhiwa vibaya.