Wavinya Ndeti amechaguliwa kama mwenyekiti wa kamati ya kuunganisha vya kisiasa
28th August, 2014
Uchaguzi wa kuichagua kamati ya kuunganisha vyama vya kisiasa uliandaliwa hii leo na licha ya kukumbwa na malumbano hatimaye ulifanyika ambapo aliyekuwa mbunge wa eneo bunge la kathiani Wavinya Ndeti alichaguliwa kama mwenyekiti wa kamati hiyo. wavinya ametaka kamati hiyo kuendeleza kurudumu la kuleta uwiano kati ya vyama vya kisiana.