×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Baada ya makataa ya siku 21 kuisha Timothy na Sarika sasa wako kwenye mikakati ya kufunga ndoa

25th August, 2014

Makataa ya siku 21 kwa yeyote aliyekua anapinga ndoa ya kati ya Timothy Khamala na mpenzi wake mwenye asili ya kihindi Sarika Patel ilikamilika bila yeyote kujitokeza. Furaha iliwajaa Sarika na Khamala kutoka jamii ya wabukusu ambapo pia walituarifu wameanza mikakati ya kufunga ndoa.
.
RELATED VIDEOS