Wanawake wengi hujifungua nyumbani kwa kupenda kwao hata baada ya hospitali kujengwa
22nd August, 2014
Katika sehemu nyingi za mashinani huduma za afya zimekuwa nadra huku akina mama wajawazito wakilazimika kujifungua nyumbani lakini huko Samburu wanawake wengi hujifungua nyumbani kwa kupenda kwao hata baada ya hospitali kujengwa karibu nao . Hi imeshinikiza maafisa wa afya kuwajengea manyatta za kujifungulia wakiwa na usaidizi wa maafisa wa afya