Wamiliki wa nyumba zilizoko kwenye kipande cha Barabara ya Langata wameapa kutobanduka
21st August, 2014
Wamiliki wa nyumba zilizoko kwenye kipande cha ardhi ambapo barabara ya langata kuelekea rongai inafaa kupitia wameapa kutobanduka katika sehemu hiyo hadi wote walipwe fidia. na huku kesi hiyo ikiwa bado mahakamani watumizi wa barabara hiyo wanalalamikia mwendo wa kobe katika kuikamilisha shughuli hiyo.