Mtoto anayeishi pangoni abadilisha lugha na kudai anteswa na wazaziwe
19th August, 2014
Siku moja tu baada ya KTN kueleza masaibu ya mtoto George Omusina aliyekuwa anaishi shimoni katika mtaa wa tena kwa madai ya kufiwa na wazazi wake, mtoto huyo amebadili lugha na sasa anadai kuwa alianza kuishi shimoni baada ya mateso kutoka kwa babake mzazi. Si hayo tu baba huyo amejitokeza na kudai kuwa yeye ndiye mzazi wa mtoto huyo. Sasa swali ni je itakuwaje mtoto wa rika lile kufikia kiwangocha kuwatakia wazazi wake kifo wangali hai ?