Makala maalum: Maisha ya wafanyikazi 5000 katika jaa kubwa zaidi la taka la Dandora
17th August, 2014
Ni jaa la taka kubwa zaidi kanda ya afrika mashariki, jaa ambalo ni nyumba kwa takriban wafanyakazi 5000, jaa la taka la dandora. Mwanahabari Hussein Mohammed ametuandalia makala maalum kuhusu maisha ya wafanyakazi wanaotekeleza shughuli zao za kila siku katika jaa hilo la taka na faida wanayoipata kutokana na taka za kaunti ya Nairobi.